ANDROID NI NINI..?? Android ni Mfumo endeshi wa simu (Operating System) ambao unaboreshwa siku hadi siku.(kutokana na maendeleo ya teknolojia) Mfumo huu una majina tofauti kutegemeana na toleo lake.... Baadhi ya android version ni kama zifuatazo... 1....Jelly Bean (4.1 – 4.3.1) 2.....KitKat (4.4 – 4.4.4) 3....Lollipop (5.0 – 5.1.1) 4....Marshmallow(6.0_6.1.1) 5.....Naugaty7.0 Matoleo haya huboreshwa kadri yanavyozidi kutolewa. Kujua toleo la simu yako nenda Settings – About phone – Android Version. Ukikuta Marshmallow,lollipop au naugaty hongeara! kwani unatumia matoleo ya mwisho yalioboreshwa!! Mfumo huu wa Android unafaa kufanyiwa settings mbalimbali na kuwekewa Program mbalimbali ili kumfanya mtumiaji aifurahie simu yake kwa asilimia 100, lakini shida huja kwamb...