JINSI YA KURESET PASSWORD YA SIMU ZA ANDROID
JE UMESAHAU PATTERN, PASSWORD AU PINCODE YA SIMU YAKO YA ANDROID NA HUJUI NINI CHA KUFANYA....????? SASA USIJALI ONDOA WASIWASI NA HOFU YAKO YOTE WALA USIFIKIRIE KUIPELEKA SIMU YAKO KWA FUNDI WEWE MWENYEWE UNAWEZA UKA SOLVE TATIZO HILO KUPITIA BLOG YETU HAPA UTAPATA KUJUA NINI CHAKUFANYA.
kuna njia kuu tatu ambazo zitaweza kukusaidia wewe kuokoa simu yako njia hizo ni kama ifuatavyo
1.RESET FACTOR
njia hiii sio nzuri sanaaa kwani hufanya simu kua mpya kabisa yani hufuta kila kitu katika simu yako
HATUA ZA KUFUATA
1...zima simu yako
2...ukiwa umeshaizima sasa iwashe ukiwa umeshikilia power button pamoja na volume down au volume down na up kwa pamoja vyote vitatu
3...sasa simu yako itawaka na italeta maneno mengiii hapo itakubidi utumie button ya volume down hadi ufikie sehemu iliyoandikwa reset factor alafu utabonyeza power button cmu itajizima na kisha itawaka ikiwa haina password wala pattern tena itakua mpya kabisa kama ulivonunua.....
2.FORGET PASSWORD
Njia hiii ni nzur na rahisi sanaaa utarecover simu yako bila kupoteza chochote kile unachotakiwa kufanya ni mambo yafuatayo
1....utakapogundua kua umesahau password au pattern yako hapo sasa Bonyeza kitufe cha forget password
2....ukishafungua hapo utachagua option ya kurecover kwa kutumia email 📧 ambayo inatumika katika sim yako
3....ingiza email yako a password ya email hiyo na simu itakua imefunguka moja kwa moja bila kupoteza data Yoyote....
3.COMPUTER INAHUSIKA
Njia hii ni pale ambapo hata gmail yako huijuii na umeisahau sasa bhass itakubid utumie computer 💻 kuset email 📧 na kisha utaiconect na simu kwa kufuata maelezo ambayo utayapata kupitia simu yako pale utakapochagua reset my password by using personal computer 💻 hivyo bhass haiiitaji maelezo mengi sanaaa kwani njia hii ni kwa watu walioendelea zaidii....
imeandaliwa na
@PA_QUE_SHACKTHERAPY
KWA MAWASILIANO
+255 627 950 542
@ABDULSHAKUR
FUTURE PROGRAMMER...
kuna njia kuu tatu ambazo zitaweza kukusaidia wewe kuokoa simu yako njia hizo ni kama ifuatavyo
1.RESET FACTOR
njia hiii sio nzuri sanaaa kwani hufanya simu kua mpya kabisa yani hufuta kila kitu katika simu yako
HATUA ZA KUFUATA
1...zima simu yako
2...ukiwa umeshaizima sasa iwashe ukiwa umeshikilia power button pamoja na volume down au volume down na up kwa pamoja vyote vitatu
3...sasa simu yako itawaka na italeta maneno mengiii hapo itakubidi utumie button ya volume down hadi ufikie sehemu iliyoandikwa reset factor alafu utabonyeza power button cmu itajizima na kisha itawaka ikiwa haina password wala pattern tena itakua mpya kabisa kama ulivonunua.....
2.FORGET PASSWORD
Njia hiii ni nzur na rahisi sanaaa utarecover simu yako bila kupoteza chochote kile unachotakiwa kufanya ni mambo yafuatayo
1....utakapogundua kua umesahau password au pattern yako hapo sasa Bonyeza kitufe cha forget password
2....ukishafungua hapo utachagua option ya kurecover kwa kutumia email 📧 ambayo inatumika katika sim yako
3....ingiza email yako a password ya email hiyo na simu itakua imefunguka moja kwa moja bila kupoteza data Yoyote....
3.COMPUTER INAHUSIKA
Njia hii ni pale ambapo hata gmail yako huijuii na umeisahau sasa bhass itakubid utumie computer 💻 kuset email 📧 na kisha utaiconect na simu kwa kufuata maelezo ambayo utayapata kupitia simu yako pale utakapochagua reset my password by using personal computer 💻 hivyo bhass haiiitaji maelezo mengi sanaaa kwani njia hii ni kwa watu walioendelea zaidii....
imeandaliwa na
@PA_QUE_SHACKTHERAPY
KWA MAWASILIANO
+255 627 950 542
@ABDULSHAKUR
FUTURE PROGRAMMER...
Comments